Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 10:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yeye huketi akivizia makao;

      Kutoka mafichoni atamuua mtu asiye na hatia.+

      ע [ʽAʹyin]

      Macho yake yanamtafuta mtu mwenye taabu.+

  • Zaburi 17:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mfano wake ni ule wa simba anayetamani kurarua vipande-vipande+

      Na ule wa mwana-simba anayekaa mahali palipofichika.

  • Zaburi 56:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Wao wanashambulia, wanajificha,+

      Wao wanaendelea kuziangalia hatua zangu,+

      Huku wakiwa wameingojea nafsi yangu.+

  • Mathayo 26:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 na kushauriana+ pamoja ili wamkamate Yesu kwa hila na kumuua.

  • Matendo 23:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa hiyo, basi, ninyi pamoja na Sanhedrini mfanyeni kiongozi wa kijeshi aelewe ni kwa nini anapaswa kumshusha chini kwenu kana kwamba mnakusudia kuhakikisha kwa usahihi zaidi mambo yanayomhusu.+ Lakini kabla hajafika karibu tutakuwa tayari kumuua.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki