Methali 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wakizidi kusema: “Haya, njoo pamoja nasi. Na tuvizie ili kumwaga damu.+ Na tujifiche ili kuwashambulia, bila sababu, watu wasio na hatia.+ Habakuki 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa fimbo zake mwenyewe ulikichoma+ kichwa cha mashujaa wake wa vita waliposonga kama tufani ili kunitawanya.+ Upeo wao wa raha ulikuwa kama wa wale wanaokusudia kummeza mwenye kuteseka katika maficho.+
11 Wakizidi kusema: “Haya, njoo pamoja nasi. Na tuvizie ili kumwaga damu.+ Na tujifiche ili kuwashambulia, bila sababu, watu wasio na hatia.+
14 Kwa fimbo zake mwenyewe ulikichoma+ kichwa cha mashujaa wake wa vita waliposonga kama tufani ili kunitawanya.+ Upeo wao wa raha ulikuwa kama wa wale wanaokusudia kummeza mwenye kuteseka katika maficho.+