Malaki 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Je, sisi sote hatuna baba mmoja?+ Je, hatukuumbwa na Mungu yuleyule? Basi kwa nini tunatendeana kwa hila,+ na kulitia unajisi agano la mababu zetu? Malaki Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 2:10 w02 5/1 17 Malaki Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:10 Mnara wa Mlinzi,5/1/2002, uku. 179/15/1987, uku. 31
10 “Je, sisi sote hatuna baba mmoja?+ Je, hatukuumbwa na Mungu yuleyule? Basi kwa nini tunatendeana kwa hila,+ na kulitia unajisi agano la mababu zetu?