9 Nayo itatumika kwako kama ishara mkononi mwako na ukumbusho katikati ya macho yako,+ ili sheria ya Yehova iwe katika kinywa chako;+ kwa sababu kwa mkono wenye nguvu Yehova alikutoa Misri.+
18 “Nanyi mtatia maneno haya yangu katika moyo wenu+ na nafsi yenu na kuyafunga kama ishara juu ya mkono wenu, nayo yatakuwa kama utepe wa kipaji katikati ya macho yenu.+