6Basi Yehova akamwambia Musa: “Sasa utaona nitakayomtendea Farao,+ maana kwa sababu ya mkono wenye nguvu atawaruhusu waende zao na kwa sababu ya mkono wenye nguvu atawafukuza watoke katika nchi yake.”+
4 Na Farao hatawasikiliza ninyi;+ nami nitalazimika kuuweka mkono wangu juu ya Misri na kuleta majeshi yangu,+ watu wangu,+ wana wa Israeli,+ kutoka katika nchi ya Misri kwa hukumu kubwa.+