29 Na ikawa kwamba katikati ya usiku Yehova akampiga kila mzaliwa wa kwanza katika nchi ya Misri,+ kuanzia mzaliwa wa kwanza wa Farao anayeketi juu ya kiti cha ufalme kufikia mzaliwa wa kwanza wa mateka aliye gerezani, na kila mzaliwa wa kwanza wa mnyama.+
13 Kisha Musa akawaambia watu: “Msiogope.+ Simameni imara muuone wokovu wa Yehova, atakaowafanyia ninyi leo.+ Kwa maana Wamisri mnaowaona leo hamtawaona tena, hasha, hamtawaona tena kamwe.+