Mwanzo 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini taifa watakalolitumikia mimi ninalihukumu,+ na baada ya hapo wataondoka na mali nyingi.+ Hesabu 33:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wakati wote huo, Wamisri walikuwa wakiwazika wale ambao Yehova alikuwa amewapiga katikati yao, yaani, wazaliwa wote wa kwanza;+ na juu ya miungu yao Yehova alikuwa amefanya hukumu.+ Zaburi 78:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Mwishowe akawapiga na kuwaua wazaliwa wote wa kwanza wa Misri,+Mwanzo wa nguvu zao za uzazi katika mahema ya Hamu.+ Zaburi 105:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Naye akapiga na kuua kila mzaliwa wa kwanza katika nchi yao,+Mwanzo wa nguvu zao zote za uzazi.+ Zaburi 136:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yule anayepiga Misri katika wazaliwa wao wa kwanza:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+ Waebrania 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa imani alifanya sherehe ya pasaka+ na upakaji wa damu,+ ili mwangamizaji asiwaguse wazaliwa wao wa kwanza.+
4 Wakati wote huo, Wamisri walikuwa wakiwazika wale ambao Yehova alikuwa amewapiga katikati yao, yaani, wazaliwa wote wa kwanza;+ na juu ya miungu yao Yehova alikuwa amefanya hukumu.+
51 Mwishowe akawapiga na kuwaua wazaliwa wote wa kwanza wa Misri,+Mwanzo wa nguvu zao za uzazi katika mahema ya Hamu.+
10 Yule anayepiga Misri katika wazaliwa wao wa kwanza:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
28 Kwa imani alifanya sherehe ya pasaka+ na upakaji wa damu,+ ili mwangamizaji asiwaguse wazaliwa wao wa kwanza.+