Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na ikawa kwamba katikati ya usiku Yehova akampiga kila mzaliwa wa kwanza katika nchi ya Misri,+ kuanzia mzaliwa wa kwanza wa Farao anayeketi juu ya kiti cha ufalme kufikia mzaliwa wa kwanza wa mateka aliye gerezani, na kila mzaliwa wa kwanza wa mnyama.+

  • Kutoka 13:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na ikawa kwamba Farao alipoonyesha ukaidi kwa kukataa kuturuhusu twende zetu,+ ndipo Yehova akamuua kila mzaliwa wa kwanza katika nchi ya Misri,+ kuanzia mzaliwa wa kwanza wa mwanadamu kufikia mzaliwa wa kwanza wa mnyama.+ Ndiyo sababu mimi ninamtolea Yehova dhabihu wote wa kiume wanaofungua tumbo la uzazi,+ na kila mzaliwa wa kwanza wa wanangu ninamkomboa.’+

  • Zaburi 105:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Naye akapiga na kuua kila mzaliwa wa kwanza katika nchi yao,+

      Mwanzo wa nguvu zao zote za uzazi.+

  • Zaburi 135:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yeye aliyewapiga na kuwaua wazaliwa wa kwanza wa Misri,+

      Mwanadamu na pia mnyama.+

  • Zaburi 136:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yule anayepiga Misri katika wazaliwa wao wa kwanza:+

      Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki