5 na kila mzaliwa wa kwanza+ katika nchi ya Misri atakufa, tokea mzaliwa wa kwanza wa Farao anayeketi juu ya kiti chake cha ufalme hata mzaliwa wa kwanza wa mjakazi aliye kwenye jiwe la kusagia la mkononi na kila mzaliwa wa kwanza wa mnyama.+
13 Kwa maana kila mzaliwa wa kwanza ni wangu.+ Katika siku niliyompiga na kumuua kila mzaliwa wa kwanza katika nchi ya Misri+ nilijitakasia kila mzaliwa wa kwanza katika Israeli kuanzia mwanadamu mpaka mnyama.+ Wanapaswa kuwa wangu. Mimi ni Yehova.”