Kutoka 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nami nitapita katikati ya nchi ya Misri usiku huu+ na kumpiga kila mzaliwa wa kwanza katika nchi ya Misri, kuanzia mwanadamu hata mnyama;+ nami nitatekeleza hukumu+ juu ya miungu yote ya Misri. Mimi ni Yehova.+ Zaburi 78:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Mwishowe akawapiga na kuwaua wazaliwa wote wa kwanza wa Misri,+Mwanzo wa nguvu zao za uzazi katika mahema ya Hamu.+ Zaburi 136:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yule anayepiga Misri katika wazaliwa wao wa kwanza:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
12 Nami nitapita katikati ya nchi ya Misri usiku huu+ na kumpiga kila mzaliwa wa kwanza katika nchi ya Misri, kuanzia mwanadamu hata mnyama;+ nami nitatekeleza hukumu+ juu ya miungu yote ya Misri. Mimi ni Yehova.+
51 Mwishowe akawapiga na kuwaua wazaliwa wote wa kwanza wa Misri,+Mwanzo wa nguvu zao za uzazi katika mahema ya Hamu.+
10 Yule anayepiga Misri katika wazaliwa wao wa kwanza:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+