Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 4:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nami nakuambia wewe: Mruhusu mwanangu aende zake ili anitumikie. Lakini iwapo utakataa kumruhusu aende zake, tazama, nitamuua mwana wako, mzaliwa wako wa kwanza.”’”+

  • Kutoka 13:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na ikawa kwamba Farao alipoonyesha ukaidi kwa kukataa kuturuhusu twende zetu,+ ndipo Yehova akamuua kila mzaliwa wa kwanza katika nchi ya Misri,+ kuanzia mzaliwa wa kwanza wa mwanadamu kufikia mzaliwa wa kwanza wa mnyama.+ Ndiyo sababu mimi ninamtolea Yehova dhabihu wote wa kiume wanaofungua tumbo la uzazi,+ na kila mzaliwa wa kwanza wa wanangu ninamkomboa.’+

  • Zaburi 78:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Mwishowe akawapiga na kuwaua wazaliwa wote wa kwanza wa Misri,+

      Mwanzo wa nguvu zao za uzazi katika mahema ya Hamu.+

  • Zaburi 105:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Naye akapiga na kuua kila mzaliwa wa kwanza katika nchi yao,+

      Mwanzo wa nguvu zao zote za uzazi.+

  • Zaburi 136:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yule anayepiga Misri katika wazaliwa wao wa kwanza:+

      Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+

  • Waebrania 11:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa imani alifanya sherehe ya pasaka+ na upakaji wa damu,+ ili mwangamizaji asiwaguse wazaliwa wao wa kwanza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki