4 Na Farao hatawasikiliza ninyi;+ nami nitalazimika kuuweka mkono wangu juu ya Misri na kuleta majeshi yangu,+ watu wangu,+ wana wa Israeli,+ kutoka katika nchi ya Misri kwa hukumu kubwa.+
4 Wakati wote huo, Wamisri walikuwa wakiwazika wale ambao Yehova alikuwa amewapiga katikati yao, yaani, wazaliwa wote wa kwanza;+ na juu ya miungu yao Yehova alikuwa amefanya hukumu.+