11Na Yehova akamwambia Musa: “Nitaleta pigo moja zaidi juu ya Farao na Misri. Halafu atawaruhusu mwende zenu kutoka hapa.+ Wakati atakapowaruhusu mwende zenu nyote kabisa, atawafukuza kutoka hapa.+
31 Ndipo akamwita+ Musa na Haruni mara moja wakati wa usiku na kusema: “Simameni, tokeni kati ya watu wangu, ninyi na wale wana wengine wa Israeli, na mwende, mkamtumikie Yehova, kama mlivyosema.+