Kutoka 12:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mara moja Farao akamwita Musa na Haruni+ usiku na kuwaambia: “Amkeni! Ondokeni kati ya watu wangu, ninyi wawili na Waisraeli wengine. Nendeni mkamtumikie Yehova, kama mlivyosema.+
31 Mara moja Farao akamwita Musa na Haruni+ usiku na kuwaambia: “Amkeni! Ondokeni kati ya watu wangu, ninyi wawili na Waisraeli wengine. Nendeni mkamtumikie Yehova, kama mlivyosema.+