Kutoka 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Nitamletea Farao na Misri pigo moja zaidi. Baada ya pigo hilo atawaruhusu mwondoke hapa.+ Atakapowaruhusu mwondoke, atawafukuza kabisa kutoka hapa.+
11 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Nitamletea Farao na Misri pigo moja zaidi. Baada ya pigo hilo atawaruhusu mwondoke hapa.+ Atakapowaruhusu mwondoke, atawafukuza kabisa kutoka hapa.+