31 Mara moja Farao akamwita Musa na Haruni+ usiku na kuwaambia: “Amkeni! Ondokeni kati ya watu wangu, ninyi wawili na Waisraeli wengine. Nendeni mkamtumikie Yehova, kama mlivyosema.+ 32 Chukueni pia kondoo wenu na ng’ombe wenu mwende zenu, kama mlivyosema.+ Lakini mnapaswa kunibariki pia.”