Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nami nitaunyoosha mkono+ wangu na kuipiga Misri kwa matendo yangu yote ya ajabu nitakayoyafanya katikati yake; kisha atawaruhusu mwondoke.+

  • Kutoka 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi Yehova akamwambia Musa: “Sasa utaona nitakayomtendea Farao,+ maana kwa sababu ya mkono wenye nguvu atawaruhusu waende zao na kwa sababu ya mkono wenye nguvu atawafukuza watoke katika nchi yake.”+

  • Kutoka 10:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo Musa akasema: “Tutaenda pamoja na vijana wetu na wazee wetu. Tutaenda pamoja na wana wetu na binti+ zetu, pamoja na kondoo zetu na ng’ombe zetu,+ kwa maana tuna sherehe ya kumfanyia Yehova.”+

  • Zaburi 105:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Misri ilishangilia walipoondoka,

      Kwa maana hofu yao ilikuwa imewaangukia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki