6Basi Yehova akamwambia Musa: “Sasa utaona nitakayomtendea Farao,+ maana kwa sababu ya mkono wenye nguvu atawaruhusu waende zao na kwa sababu ya mkono wenye nguvu atawafukuza watoke katika nchi yake.”+
9 Ndipo Musa akasema: “Tutaenda pamoja na vijana wetu na wazee wetu. Tutaenda pamoja na wana wetu na binti+ zetu, pamoja na kondoo zetu na ng’ombe zetu,+ kwa maana tuna sherehe ya kumfanyia Yehova.”+