Kutoka 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Musa akamjibu: “Tutaenda na vijana wetu, wazee wetu, wana wetu, mabinti wetu, kondoo wetu, na ng’ombe wetu,+ kwa maana tutamfanyia Yehova sherehe.”+
9 Musa akamjibu: “Tutaenda na vijana wetu, wazee wetu, wana wetu, mabinti wetu, kondoo wetu, na ng’ombe wetu,+ kwa maana tutamfanyia Yehova sherehe.”+