Kutoka 7:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mimi nami, nitauacha moyo wa Farao uwe mkaidi,+ nami hakika nitazidisha ishara zangu na miujiza yangu katika nchi ya Misri.+ Kutoka 12:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na Wamisri wakaanza kuwahimiza watu ili wawafukuze haraka+ kutoka katika nchi hiyo, “kwa sababu,” walisema, “sisi sote ni kana kwamba tumekufa!”+ Kumbukumbu la Torati 6:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Basi Yehova akaendelea kuweka ishara na miujiza,+ kubwa na zenye kuleta msiba, juu ya Misri, juu ya Farao na juu ya nyumba yake yote mbele ya macho yetu.+ Zaburi 135:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Alituma ishara na miujiza katikati yako, Ee Misri,+Juu ya Farao na juu ya watumishi wake wote;+ Matendo 7:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Mtu huyo aliwaongoza watoke+ baada ya kufanya mambo ya ajabu na ishara katika Misri+ na katika Bahari Nyekundu+ na katika nyika kwa miaka 40.+
3 Mimi nami, nitauacha moyo wa Farao uwe mkaidi,+ nami hakika nitazidisha ishara zangu na miujiza yangu katika nchi ya Misri.+
33 Na Wamisri wakaanza kuwahimiza watu ili wawafukuze haraka+ kutoka katika nchi hiyo, “kwa sababu,” walisema, “sisi sote ni kana kwamba tumekufa!”+
22 Basi Yehova akaendelea kuweka ishara na miujiza,+ kubwa na zenye kuleta msiba, juu ya Misri, juu ya Farao na juu ya nyumba yake yote mbele ya macho yetu.+
36 Mtu huyo aliwaongoza watoke+ baada ya kufanya mambo ya ajabu na ishara katika Misri+ na katika Bahari Nyekundu+ na katika nyika kwa miaka 40.+