Kutoka 16:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Nao wana wa Israeli wakala mana miaka 40,+ mpaka walipofika katika nchi inayokaliwa.+ Walikula mana mpaka walipofika mpakani mwa nchi ya Kanaani.+ Hesabu 14:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na wana wenu watakuwa wachungaji nyikani+ kwa miaka 40, nao watajibu kwa sababu ya matendo yenu ya uasherati,+ mpaka mizoga yenu itakapofikia mwisho wake nyikani.+
35 Nao wana wa Israeli wakala mana miaka 40,+ mpaka walipofika katika nchi inayokaliwa.+ Walikula mana mpaka walipofika mpakani mwa nchi ya Kanaani.+
33 Na wana wenu watakuwa wachungaji nyikani+ kwa miaka 40, nao watajibu kwa sababu ya matendo yenu ya uasherati,+ mpaka mizoga yenu itakapofikia mwisho wake nyikani.+