Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 33:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Mwishowe wakaondoka katika milima ya Abarimu, wakapiga kambi katika nchi tambarare za jangwa la Moabu+ kando ya Yordani, kule Yeriko.

  • Kumbukumbu la Torati 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Tazama, naiweka nchi hiyo mbele yenu. Ingieni mwimiliki nchi ambayo Yehova aliwaapia baba zenu, Abrahamu, Isaka+ na Yakobo,+ kwamba atawapa wao na uzao wao baada yao.’+

  • Kumbukumbu la Torati 34:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Kisha Musa akatoka katika nchi tambarare za jangwa la Moabu na kuingia katika Mlima Nebo,+ mpaka juu ya Pisga,+ mbele ya Yeriko.+ Naye Yehova akamwonyesha nchi yote, Gileadi mpaka Dani,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki