8 Tazama, naiweka nchi hiyo mbele yenu. Ingieni mwimiliki nchi ambayo Yehova aliwaapia baba zenu, Abrahamu, Isaka+ na Yakobo,+ kwamba atawapa wao na uzao wao baada yao.’+
34Kisha Musa akatoka katika nchi tambarare za jangwa la Moabu na kuingia katika Mlima Nebo,+ mpaka juu ya Pisga,+ mbele ya Yeriko.+ Naye Yehova akamwonyesha nchi yote, Gileadi mpaka Dani,+