Ezekieli 16:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nawe ukafanya ukahaba na wana wa Misri,+ jirani zako wenye kiungo kikubwa,+ nawe ukaendelea kuufanya ukahaba wako uwe mwingi ili kunitia uchungu. Yakobo 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Enyi wazinzi,+ je, hamjui kwamba urafiki na ulimwengu ni uadui na Mungu?+ Kwa hiyo, yeyote anayetaka kuwa rafiki+ ya ulimwengu anajifanya kuwa adui ya Mungu.+
26 Nawe ukafanya ukahaba na wana wa Misri,+ jirani zako wenye kiungo kikubwa,+ nawe ukaendelea kuufanya ukahaba wako uwe mwingi ili kunitia uchungu.
4 Enyi wazinzi,+ je, hamjui kwamba urafiki na ulimwengu ni uadui na Mungu?+ Kwa hiyo, yeyote anayetaka kuwa rafiki+ ya ulimwengu anajifanya kuwa adui ya Mungu.+