Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 23:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Zaidi ya hayo, Farao Neko akamfanya Eliakimu+ mwana wa Yosia kuwa mfalme mahali pa Yosia baba yake na kulibadili jina lake kuwa Yehoyakimu; naye akamchukua Yehoahazi na kumpeleka Misri, naye akafa huko mwishowe.+

  • Isaya 30:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 wale wanaojitayarisha kushuka kwenda Misri+ na ambao hawakuuliza kutoka kinywani mwangu,+ ili kupata kinga katika ngome ya Farao na kupata kimbilio katika kivuli cha Misri!+

  • Isaya 30:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na ngome ya Farao itakuwa kwenu sababu ya kuona aibu,+ na kimbilio katika kivuli cha Misri sababu ya kufedheheka.+

  • Yeremia 2:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kwa nini unaona kubadili njia yako kuwa jambo dogo sana?+ Utaona aibu kwa ajili ya Misri,+ kama vile ulivyoona aibu kwa ajili ya Ashuru.+

  • Maombolezo 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Tumewapa mkono+ Misri;+ Ashuru,+ ili tushibe mkate.

  • Ezekieli 20:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nami nikaendelea kuwaambia, ‘Tupilieni mbali, kila mmoja wenu, machukizo ya macho yake,+ nanyi msijitie unajisi kwa sanamu za mavi za Misri.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki