34 Zaidi ya hayo, Farao Neko akamfanya Eliakimu+ mwana wa Yosia kuwa mfalme mahali pa Yosia baba yake na kulibadili jina lake kuwa Yehoyakimu; naye akamchukua Yehoahazi na kumpeleka Misri, naye akafa huko mwishowe.+
2 wale wanaojitayarisha kushuka kwenda Misri+ na ambao hawakuuliza kutoka kinywani mwangu,+ ili kupata kinga katika ngome ya Farao na kupata kimbilio katika kivuli cha Misri!+
7 Nami nikaendelea kuwaambia, ‘Tupilieni mbali, kila mmoja wenu, machukizo ya macho yake,+ nanyi msijitie unajisi kwa sanamu za mavi za Misri.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.’+