Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 28:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Wakati huo Mfalme Ahazi+ akatuma ujumbe kwa wafalme wa Ashuru+ ili wamsaidie.

  • Hosea 5:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Na Efraimu akaona ugonjwa wake, na Yuda kidonda chake.+ Ndipo Efraimu akaenda Ashuru+ na kupeleka ujumbe kwa mfalme mkuu.+ Lakini huyo hakuweza kuwaponya ninyi,+ wala kuwaondolea kidonda kwa dawa yoyote.+

  • Hosea 7:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na Efraimu ni kama njiwa+ mjinga, asiye na ufahamu.+ Wameita Misri;+ wameenda Ashuru.+

  • Hosea 9:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Hawataendelea kukaa katika nchi ya Yehova,+ naye Efraimu atarudi Misri,+ nao watakula vitu vilivyo najisi katika Ashuru.+

  • Hosea 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Efraimu anajilisha upepo+ na kufukuza upepo wa mashariki siku nzima.+ Anazidisha uwongo na uporaji.+ Nao hufanya agano na Ashuru,+ na mafuta hupelekwa Misri.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki