2 Wafalme 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika mwaka wa tisa wa Hoshea, mfalme wa Ashuru aliliteka Samaria+ kisha akapeleka Israeli uhamishoni+ katika Ashuru, akaendelea kuwakalisha katika Hala+ na katika Habori kando ya mto Gozani+ na katika majiji ya Wamedi.+ Ezekieli 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na Yehova akaendelea kusema: “Hivyo ndivyo wana wa Israeli watakavyoula mkate wao ukiwa si safi+ katikati ya mataifa ambako nitawatawanya.”+
6 Katika mwaka wa tisa wa Hoshea, mfalme wa Ashuru aliliteka Samaria+ kisha akapeleka Israeli uhamishoni+ katika Ashuru, akaendelea kuwakalisha katika Hala+ na katika Habori kando ya mto Gozani+ na katika majiji ya Wamedi.+
13 Na Yehova akaendelea kusema: “Hivyo ndivyo wana wa Israeli watakavyoula mkate wao ukiwa si safi+ katikati ya mataifa ambako nitawatawanya.”+