2 Wafalme 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nao wakaliteka+ mwishoni mwa miaka mitatu; katika mwaka wa sita wa Hezekia, yaani, mwaka wa tisa wa Hoshea mfalme wa Israeli, Samaria likatekwa.+ Hosea 13:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Samaria atahesabiwa kuwa na hatia,+ kwa maana kwa kweli yeye amemwasi Mungu wake.+ Wataanguka kwa upanga.+ Watoto wao wenyewe watavunjwa vipande-vipande,+ na wanawake wao wenye mimba watapasuliwa.”+
10 Nao wakaliteka+ mwishoni mwa miaka mitatu; katika mwaka wa sita wa Hezekia, yaani, mwaka wa tisa wa Hoshea mfalme wa Israeli, Samaria likatekwa.+
16 “Samaria atahesabiwa kuwa na hatia,+ kwa maana kwa kweli yeye amemwasi Mungu wake.+ Wataanguka kwa upanga.+ Watoto wao wenyewe watavunjwa vipande-vipande,+ na wanawake wao wenye mimba watapasuliwa.”+