Hosea 13:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Watu wa Samaria watahesabiwa kuwa na hatia,+ kwa sababu wamemwasi Mungu wao.+ Watauawa kwa upanga,+Watoto wao watapondwapondwa,Na wanawake wao wenye mimba watapasuliwa tumbo.” Hosea Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 13:16 w05 11/15 29-30 Hosea Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 13:16 The Watchtower,11/15/2005, kur. 29-30
16 Watu wa Samaria watahesabiwa kuwa na hatia,+ kwa sababu wamemwasi Mungu wao.+ Watauawa kwa upanga,+Watoto wao watapondwapondwa,Na wanawake wao wenye mimba watapasuliwa tumbo.”