Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hosea 13:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Samaria atahesabiwa kuwa na hatia,+ kwa maana kwa kweli yeye amemwasi Mungu wake.+ Wataanguka kwa upanga.+ Watoto wao wenyewe watavunjwa vipande-vipande,+ na wanawake wao wenye mimba watapasuliwa.”+

  • Amosi 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kuna adui kuzunguka nchi,+ naye atazishusha nguvu zako zikutoke, na minara ya makao yako itaporwa.’+

  • Mika 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nami nitalifanya Samaria kuwa rundo la mabomoko ya shambani,+ mahali pa kupanda mizabibu; nami nitamwaga mawe yake katika bonde, na misingi yake nitaifunua.+

  • Mika 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na sheria za Omri+ na kazi yote ya nyumba ya Ahabu zinafuatwa,+ nanyi mnatembea katika mashauri yao;+ ili mimi niwafanye ninyi kuwa kitu cha kushangaza na wakaaji wake kuwa kitu cha kupigiwa mluzi kwa mshangao;+ nanyi mtachukua shutuma ya vikundi vya watu.”+

  • Mika 7:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na nchi itakuwa mahame yenye ukiwa kwa sababu ya wakaaji wake, kwa sababu ya matunda ya matendo yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki