30“Ole wao wana wakaidi,”+ asema Yehova, “wale walio na mwelekeo wa kutekeleza shauri, lakini si la kutoka kwangu;+ na kumimina toleo la kinywaji, lakini si kwa roho yangu, ili kuongeza dhambi juu ya dhambi;+
24 Lakini hawakusikiliza, wala hawakutega sikio lao,+ bali wakatembea katika mashauri kwa ukaidi wa moyo wao mbaya,+ hivi kwamba wakawa watu wa kuelekea nyuma wala si mbele,+