Hesabu 32:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na tazama, ninyi mmesimama mahali pa baba zenu kama kundi la watu wenye dhambi ili kuizidisha hasira ya Yehova+ inayowaka juu ya Israeli. Hosea 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na sasa wanafanya dhambi zaidi na kujifanyia sanamu ya kuyeyushwa kutoka kwenye fedha+ yao, sanamu kulingana na uelewaji wao wenyewe,+ yote hiyo ni kazi ya mafundi.+ Nao wanaziambia, ‘Acheni wanadamu wanaotoa dhabihu wabusu ndama.’+
14 Na tazama, ninyi mmesimama mahali pa baba zenu kama kundi la watu wenye dhambi ili kuizidisha hasira ya Yehova+ inayowaka juu ya Israeli.
2 Na sasa wanafanya dhambi zaidi na kujifanyia sanamu ya kuyeyushwa kutoka kwenye fedha+ yao, sanamu kulingana na uelewaji wao wenyewe,+ yote hiyo ni kazi ya mafundi.+ Nao wanaziambia, ‘Acheni wanadamu wanaotoa dhabihu wabusu ndama.’+