Hosea 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sasa wanazidisha dhambi yaoNa kutengeneza sanamu za madini* kwa fedha yao;+Wanatengeneza sanamu kwa ustadi, hizo zote ni kazi za mafundi. Wanasema hivi mbele ya sanamu hizo: ‘Watu wanaotoa dhabihu na wabusu ndama hawa.’+
2 Sasa wanazidisha dhambi yaoNa kutengeneza sanamu za madini* kwa fedha yao;+Wanatengeneza sanamu kwa ustadi, hizo zote ni kazi za mafundi. Wanasema hivi mbele ya sanamu hizo: ‘Watu wanaotoa dhabihu na wabusu ndama hawa.’+