1 Wafalme 12:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Yeroboamu akasema moyoni mwake: “Sasa ufalme utarudi katika nyumba ya Daudi.+ 1 Wafalme 12:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Baada ya kushauriana, mfalme akatengeneza ndama wawili wa dhahabu+ na kuwaambia watu: “Inachosha sana kwenu kupanda kwenda Yerusalemu. Ndiye huyu hapa Mungu wenu, enyi Waisraeli, aliyewatoa nchini Misri.”+ 1 Wafalme 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na bado nina watu 7,000 waliobaki Israeli,+ watu wote ambao hawakumpigia magoti Baali,+ na ambao hawakumbusu kwa midomo yao.”+
28 Baada ya kushauriana, mfalme akatengeneza ndama wawili wa dhahabu+ na kuwaambia watu: “Inachosha sana kwenu kupanda kwenda Yerusalemu. Ndiye huyu hapa Mungu wenu, enyi Waisraeli, aliyewatoa nchini Misri.”+
18 Na bado nina watu 7,000 waliobaki Israeli,+ watu wote ambao hawakumpigia magoti Baali,+ na ambao hawakumbusu kwa midomo yao.”+