1 Wafalme 12:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Basi mfalme akafanya shauri,+ akatengeneza ndama wawili wa dhahabu+ na kuwaambia watu: “Ni vigumu mno kwenu kwenda Yerusalemu. Tazama, huyu ni Mungu wenu,+ enyi Israeli, aliyewatoa ninyi katika nchi ya Misri.”+ 1 Wafalme 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nami nimewaacha watu elfu saba wabaki katika Israeli,+ magoti yote ambayo hayakumwinamia Baali,+ na kila kinywa ambacho hakikumbusu.”+
28 Basi mfalme akafanya shauri,+ akatengeneza ndama wawili wa dhahabu+ na kuwaambia watu: “Ni vigumu mno kwenu kwenda Yerusalemu. Tazama, huyu ni Mungu wenu,+ enyi Israeli, aliyewatoa ninyi katika nchi ya Misri.”+
18 Nami nimewaacha watu elfu saba wabaki katika Israeli,+ magoti yote ambayo hayakumwinamia Baali,+ na kila kinywa ambacho hakikumbusu.”+