Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kama Yehova wa majeshi hangalituachia waokokaji wachache tu,+ tungalikuwa kama Sodoma, tungalifanana na Gomora.+

  • Waroma 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Lakini, neno la Mungu+ linamwambia nini? “Nimebakiza watu elfu saba kwa ajili yangu mwenyewe, watu ambao hawakumpigia Baali goti.”+

  • Waroma 11:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi, kwa njia hiyo katika majira ya sasa kumetokea pia mabaki+ kulingana na kuchaguliwa+ ambako kunatokana na fadhili zisizostahiliwa.

  • 2 Timotheo 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Hata hivyo, msingi imara wa Mungu unakaa ukiwa umesimama,+ ukiwa na muhuri huu: “Yehova anawajua walio wake,”+ na: “Kila mtu anayelitaja jina la Yehova+ na aukatae ukosefu wa uadilifu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki