Isaya 26:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ee Yehova Mungu wetu, mabwana wengine mbali na wewe wamekuwa wamiliki wetu.+ Ni kwa msaada wako wewe peke yako tutalitaja jina lako.+ Sefania 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana ndipo nitakapobadilisha lugha ya vikundi vya watu na kuwapa lugha safi,+ ili wote waliitie jina la Yehova,+ wamtumikie bega kwa bega.’+ Sefania 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nami nitaacha wabaki katikati yako watu wanyenyekevu na wa hali ya chini,+ nao watapata kimbilio katika jina la Yehova.+ Waroma 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana “kila mtu anayeliitia jina la Yehova ataokolewa.”+
13 Ee Yehova Mungu wetu, mabwana wengine mbali na wewe wamekuwa wamiliki wetu.+ Ni kwa msaada wako wewe peke yako tutalitaja jina lako.+
9 Kwa maana ndipo nitakapobadilisha lugha ya vikundi vya watu na kuwapa lugha safi,+ ili wote waliitie jina la Yehova,+ wamtumikie bega kwa bega.’+
12 Nami nitaacha wabaki katikati yako watu wanyenyekevu na wa hali ya chini,+ nao watapata kimbilio katika jina la Yehova.+