Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 26:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ee Yehova Mungu wetu, mabwana wengine mbali na wewe wamekuwa wamiliki wetu.+ Ni kwa msaada wako wewe peke yako tutalitaja jina lako.+

  • Sefania 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa maana ndipo nitakapobadilisha lugha ya vikundi vya watu na kuwapa lugha safi,+ ili wote waliitie jina la Yehova,+ wamtumikie bega kwa bega.’+

  • Sefania 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nami nitaacha wabaki katikati yako watu wanyenyekevu na wa hali ya chini,+ nao watapata kimbilio katika jina la Yehova.+

  • Waroma 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana “kila mtu anayeliitia jina la Yehova ataokolewa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki