7 kwa kutoingia kamwe kati ya mataifa haya,+ yaani, haya yanayobaki na ninyi. Nanyi msitaje majina ya miungu yao+ wala kuapa kwa hiyo,+ msiitumikie wala kuiinamia.+
19 Hata hivyo, msingi imara wa Mungu unakaa ukiwa umesimama,+ ukiwa na muhuri huu: “Yehova anawajua walio wake,”+ na: “Kila mtu anayelitaja jina la Yehova+ na aukatae ukosefu wa uadilifu.”+