Hesabu 16:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ndipo akasema na Kora na kusanyiko lake lote, na kuwaambia: “Asubuhi Yehova atajulisha ni nani aliye wake+ na ni nani aliye mtakatifu+ na ni nani anayeweza kumkaribia,+ na yeyote atakayemchagua+ huyo atamkaribia. 1 Wakorintho 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini ikiwa yeyote anampenda Mungu,+ huyo anajulikana naye.+
5 Ndipo akasema na Kora na kusanyiko lake lote, na kuwaambia: “Asubuhi Yehova atajulisha ni nani aliye wake+ na ni nani aliye mtakatifu+ na ni nani anayeweza kumkaribia,+ na yeyote atakayemchagua+ huyo atamkaribia.