Hesabu 16:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kisha akamwambia Kora na watu wote waliomuunga mkono, “Asubuhi Yehova ataonyesha ni nani aliye wake+ na ni nani aliye mtakatifu na ni nani anayepaswa kumkaribia,+ na yeyote atakayemchagua+ ndiye atakayemkaribia. Hesabu Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 16:5 Mnara wa Mlinzi,7/15/2014, kur. 8-9, 13
5 Kisha akamwambia Kora na watu wote waliomuunga mkono, “Asubuhi Yehova ataonyesha ni nani aliye wake+ na ni nani aliye mtakatifu na ni nani anayepaswa kumkaribia,+ na yeyote atakayemchagua+ ndiye atakayemkaribia.