Kutoka 28:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “Utamleta Haruni+ ndugu yako pamoja na wanawe,+ Nadabu na Abihu,+ Eleazari na Ithamari+ kutoka miongoni mwa Waisraeli ili wanitumikie+ wakiwa makuhani. Hesabu 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na fimbo ya mtu nitakayemchagua+ itachipua, nami nitakomesha manung’uniko ya Waisraeli dhidi yangu,+ ambayo pia wanakunung’unikia.”+ Zaburi 105:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Alimtuma Musa mtumishi wake,+Na Haruni,+ aliyekuwa amemchagua.
28 “Utamleta Haruni+ ndugu yako pamoja na wanawe,+ Nadabu na Abihu,+ Eleazari na Ithamari+ kutoka miongoni mwa Waisraeli ili wanitumikie+ wakiwa makuhani.
5 Na fimbo ya mtu nitakayemchagua+ itachipua, nami nitakomesha manung’uniko ya Waisraeli dhidi yangu,+ ambayo pia wanakunung’unikia.”+