Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Sasa watu wakaanza kulalamika kwa uchungu mbele za Yehova. Yehova aliposikia malalamiko yao, alikasirika sana, na moto kutoka kwa Yehova ukaanza kuwateketeza na kuwaangamiza baadhi ya watu waliokuwa kandokando ya kambi.

  • Hesabu 14:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Umati huu wa watu waovu utaendelea kuninung’unikia mpaka lini?+ Nimesikia manung’uniko ya Waisraeli juu yangu.+

  • Hesabu 16:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa sababu hiyo, wewe na watu wote wanaokuunga mkono mnampinga Yehova. Haruni ni nani hivi kwamba mnung’unike kumhusu?”+

  • 1 Wakorintho 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi mambo hayo yalikuwa vielelezo kwetu, ili tusitamani mambo mabaya, kama wao walivyotamani.+

  • 1 Wakorintho 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wala tusiwe wanung’unikaji,+ kama baadhi yao walivyonung’unika, wakaangamizwa na mwangamizaji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki