Hesabu 14:36, 37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Wanaume ambao Musa aliwatuma kuipeleleza nchi, wakaleta habari mbaya kuhusu nchi hiyo na kufanya Waisraeli wote wamnung’unikie Musa,+ 37 naam, wanaume hao walioleta habari mbaya kuhusu nchi hiyo watauawa mbele za Yehova.+
36 Wanaume ambao Musa aliwatuma kuipeleleza nchi, wakaleta habari mbaya kuhusu nchi hiyo na kufanya Waisraeli wote wamnung’unikie Musa,+ 37 naam, wanaume hao walioleta habari mbaya kuhusu nchi hiyo watauawa mbele za Yehova.+