1 Wakorintho 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi mambo hayo yalikuwa vielelezo kwetu, ili tusitamani mambo mabaya, kama wao walivyotamani.+ 1 Wakorintho 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wala tusiwe wanung’unikaji,+ kama baadhi yao walivyonung’unika, wakaangamizwa na mwangamizaji.+ Yuda 5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ingawa mnajua vizuri mambo yote haya, nataka kuwakumbusha kwamba ijapokuwa Yehova* aliwaokoa watu kutoka nchi ya Misri,+ baadaye aliwaangamiza wale waliokosa imani.+
5 Ingawa mnajua vizuri mambo yote haya, nataka kuwakumbusha kwamba ijapokuwa Yehova* aliwaokoa watu kutoka nchi ya Misri,+ baadaye aliwaangamiza wale waliokosa imani.+