Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Waisraeli wote wakaanza kumnung’unikia Musa na Haruni,+ na wote wakawalalamikia wakisema: “Laiti tungalifia katika nchi ya Misri, au laiti tungalifia hapa nyikani!

  • Hesabu 16:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Je, unafikiri ni jambo dogo kututoa katika nchi inayotiririka maziwa na asali ili utuue nyikani?+ Sasa, je, unataka kujifanya kiongozi mwenye mamlaka kamili juu yetu?*

  • Hesabu 16:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Siku iliyofuata, kusanyiko lote la Waisraeli likaanza kumnung’unikia Musa na Haruni,+ likisema: “Ninyi wawili mmewaua watu wa Yehova.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki