Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 38:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ifuatayo ni orodha ya vitu vilivyotumiwa kutengeneza hema la ibada, yaani, hema la Ushahidi.+ Orodha hii ilitayarishwa kwa amri ya Musa, na lilikuwa jukumu la Walawi+ kuitayarisha chini ya uongozi wa Ithamari+ mwana wa Haruni kuhani.

  • Mambo ya Walawi 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Musa akamtafuta sana mbuzi wa dhabihu ya dhambi,+ lakini akagundua kwamba alikuwa ameteketezwa. Kwa hiyo akawakasirikia sana Eleazari na Ithamari, wana waliobaki wa Haruni, akawauliza:

  • 1 Mambo ya Nyakati 24:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Hata hivyo, Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao,+ nao hawakuwa na wana wowote; lakini Eleazari+ na Ithamari waliendelea kutumikia wakiwa makuhani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki