Hesabu 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Walete watu wa kabila la Lawi+ mbele ya kuhani Haruni ili wamhudumie.+ Hesabu 4:46, 47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Musa na Haruni na wakuu wa Israeli waliwaandikisha Walawi hao wote kulingana na familia zao na koo zao;* 47 walikuwa na umri wa miaka 30 hadi miaka 50, na wote waligawiwa kazi ya kutumikia katika hema la mkutano na kubeba mizigo ya hema hilo.+
46 Musa na Haruni na wakuu wa Israeli waliwaandikisha Walawi hao wote kulingana na familia zao na koo zao;* 47 walikuwa na umri wa miaka 30 hadi miaka 50, na wote waligawiwa kazi ya kutumikia katika hema la mkutano na kubeba mizigo ya hema hilo.+