Hesabu 1:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Unapaswa kuwaweka rasmi Walawi wasimamie hema la Ushahidi+ na vyombo vyake vyote na kila kitu kilichomo.+ Watabeba hema hilo na vyombo vyake vyote,+ nao watalitunza+ na kupiga kambi kulizunguka.+ Hesabu 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni lazima Haruni awatoe* Walawi mbele za Yehova kama toleo la kutikiswa+ kutoka kwa Waisraeli, nao watatekeleza utumishi wa Yehova.+
50 Unapaswa kuwaweka rasmi Walawi wasimamie hema la Ushahidi+ na vyombo vyake vyote na kila kitu kilichomo.+ Watabeba hema hilo na vyombo vyake vyote,+ nao watalitunza+ na kupiga kambi kulizunguka.+
11 Ni lazima Haruni awatoe* Walawi mbele za Yehova kama toleo la kutikiswa+ kutoka kwa Waisraeli, nao watatekeleza utumishi wa Yehova.+