30 Mkuu wa ukoo wa familia za Wakohathi alikuwa Elisafani mwana wa Uzieli.+ 31 Majukumu yao yalikuwa kutunza Sanduku la Agano,+ meza,+ kinara cha taa,+ madhabahu,+ vyombo+ vilivyotumiwa katika utumishi wa mahali patakatifu, pazia,+ na utumishi wote uliohusiana na vitu hivyo.+