Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 3:30, 31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Mkuu wa ukoo* wa familia za Wakohathi alikuwa Elisafani mwana wa Uzieli.+ 31 Majukumu yao yalikuwa kutunza Sanduku la Agano,+ meza,+ kinara cha taa,+ madhabahu,+ vyombo+ vilivyotumiwa katika utumishi wa mahali patakatifu, pazia,+ na utumishi wote uliohusiana na vitu hivyo.+

  • Hesabu 4:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nao watachukua vyombo vyote+ wanavyotumia kwa ukawaida wanapohudumu mahali patakatifu na kuviweka ndani ya kitambaa cha bluu na kuvifunika kwa kifuniko cha ngozi ya sili, kisha wataviweka juu ya ufito wa kubebea.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki