Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Hema la mkutano linapohamishwa,+ kambi ya Walawi inapaswa kuwa katikati ya kambi nyingine zote.

      “Wote wanapaswa kusafiri kwa kufuata utaratibu uleule wanaofuata wanapopiga kambi,+ kila mtu mahali pake, kulingana na makundi yao ya makabila matatu-matatu.

  • Hesabu 3:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Familia za Wagershoni zilipiga kambi nyuma ya hema la ibada+ upande wa magharibi.

  • Hesabu 3:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Familia za wana wa Kohathi zilipiga kambi upande wa kusini wa hema la ibada.+

  • Hesabu 3:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Mkuu wa ukoo* wa familia za Merari alikuwa Zurieli mwana wa Abihaili. Walipiga kambi upande wa kaskazini wa hema la ibada.+

  • Hesabu 3:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Musa na Haruni na wanawe walipiga kambi mbele ya hema la ibada upande wa mashariki, upande wa mapambazuko ya jua. Walikuwa na wajibu wa kutunza mahali patakatifu kwa niaba ya Waisraeli. Mtu yeyote asiye na idhini* ambaye angekaribia mahali patakatifu angeuawa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki