Hesabu 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Hema la mkutano+ litakapoondoka, kambi ya Walawi+ itakuwa katikati ya kambi hizo. “Kama vile watakavyopiga kambi, ndivyo watakavyoondoka,+ kila mmoja mahali pake, kulingana na mgawanyo wao wa makabila matatu.
17 “Hema la mkutano+ litakapoondoka, kambi ya Walawi+ itakuwa katikati ya kambi hizo. “Kama vile watakavyopiga kambi, ndivyo watakavyoondoka,+ kila mmoja mahali pake, kulingana na mgawanyo wao wa makabila matatu.