1 Wakorintho 14:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko bali ni wa amani.+ Kama ilivyo katika makutaniko yote ya watakatifu, 1 Wakorintho 14:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Lakini mambo yote na yatendeke kwa adabu na kwa mpango.*+
33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko bali ni wa amani.+ Kama ilivyo katika makutaniko yote ya watakatifu,